Kocha Mjerumani wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Burkhad Pape akiwa na wachezaji wa timu hiyo kutoka kulia Emmanuel Gabriel, Primus Kasonso, Juma Kaseja na kutoka kushoto, Mecky Mexime, Nteze John na Boniface Pawasa nyuma kwenye makazi ya Wamaasai eneo la Monduli mkoani Arusha walipokwenda kuwatembelea baada ya mechi za Kombe la CECAFA Castle mwaka 2000.
Real Madrid's Tchouameni on Man Utd radar
-
Real Madrid's Aurelien Tchouameni is one of the players Man Utd are looking
at to fill their priority central midfield position this summer.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment