Kocha Mjerumani wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Burkhad Pape akiwa na wachezaji wa timu hiyo kutoka kulia Emmanuel Gabriel, Primus Kasonso, Juma Kaseja na kutoka kushoto, Mecky Mexime, Nteze John na Boniface Pawasa nyuma kwenye makazi ya Wamaasai eneo la Monduli mkoani Arusha walipokwenda kuwatembelea baada ya mechi za Kombe la CECAFA Castle mwaka 2000.
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment