Kocha Mjerumani wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Burkhad Pape akiwa na wachezaji wa timu hiyo kutoka kulia Emmanuel Gabriel, Primus Kasonso, Juma Kaseja na kutoka kushoto, Mecky Mexime, Nteze John na Boniface Pawasa nyuma kwenye makazi ya Wamaasai eneo la Monduli mkoani Arusha walipokwenda kuwatembelea baada ya mechi za Kombe la CECAFA Castle mwaka 2000.
Celtics cruise past Heat to reach play-off semis
-
The Boston Celtics maintain their good form to cruise past the Miami Heat
into the Eastern Conference play-off semi-finals.
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment