Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi akiwatoka wachezaji wa Mwadui katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Simba ilishinda 3-0
Mshambuliaji wa Simba, John Bocco akipasua katikati ya mabeki wa Mwadui jana
Kiungo Mghana wa Simba, James Kotei akitoa pasi mbele ya mchezaji wa Mwadui
Mshambuliaji wa Simba, John Bocco akimuacha chini beki wa Mwadui jana
Mshambuliaji a Simba, Emmanuel Okwi akimtoka kiungo wa Mwadui, Razack Khalfan
Kiungo wa Simba, Shiza Kichuya akimtoka kiungo wa Mwadui, Razack Khalfan
Kiungo wa Simba, Mwinyi Kazimoto akimiliki mpira mbele ya kiungo wa Mwadui, Awadh Juma
Kiungo wa Mwadui, Hassan Kabunda akimuacha chini mshambuliaji wa Simba, Nicholaus Gyan
Media Accreditation: Uganda Vs South Africa
-
FUFA wishes to inform you that the application process for accreditation to
cover the AFCON Qualifier 2025 match between Uganda and South Africa on
Frida...
Edozie Njoku and the new APGA
-
By Ambrose Ododo it has been a long and tortuous journey for the birth of
the rebranded All Progressives Grand Alliance, APGA, and it looks like it
is go...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment