Mshambuliaji wa Mtanzania wa KRC Genk, Mbwana Ally Samatta akimiliki mpira mbele ya beki wa na AA Gent katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza A, Ubelgiji jana Uwanja wa Ghelamco-Arena mjini Gent timu hizo zikitoka sare ya 1-1
Mbwana Samatta akipambana na mchezaji wa AA Gent jana Uwanja wa Ghelamco-Arena
Mbwana Samatta akipambana na mchezaji wa AA Gent jana Uwanja wa Ghelamco-Arena
Mbwana Samatta akimtoka beki wa AA Gent jana Uwanja wa Ghelamco-Arena
Mbwana Samatta akishirikiana na mwenzake kumtoa mchezaji wa AA Gent jana
Mbwana Samatta akishangilia na wenzake jana baada ya kusawazisha bao dakika za mwishoni kupata sare ya 1-1 ugenini
Ian Wright and Alan Shearer rip apart Anthony Taylor's 'very messy'
decision which denied Cody Gakpo a clear goalscoring opportunity in
Liverpool's 2-2 draw with West Ham
-
The Reds' title hopes took yet another dent as there were held by David
Moyes ' men at the London Stadium, with the game including a controversial
call by ...
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment