Alvaro Morata (kulia) na N'Golo Kante (kushoto) wakipongezana baada ya wote kuifungia Chelsea katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Leicester City leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa King Power. Morata alifunga dakika ya 41 na Kante dakika ya 50, wakati bao la Leicester limefungwa na Jamie Vardy dakika ya 62 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Odell Beckham Jr.'s Dolphins Contract Praised by NFL Fans for Fit with
Hill, Waddle
-
The long-rumored pairing of Odell Beckham Jr. and the Miami Dolphins is
finally happening. Per NFL Network's Ian Rapoport and Tom Pelissero,
Beckham agreed...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment