Alvaro Morata (kulia) na N'Golo Kante (kushoto) wakipongezana baada ya wote kuifungia Chelsea katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Leicester City leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa King Power. Morata alifunga dakika ya 41 na Kante dakika ya 50, wakati bao la Leicester limefungwa na Jamie Vardy dakika ya 62 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mid-match adverts during ITV's rugby coverage was a hot topic of debate but
brief annoyance is worth it if it means games being shown on free-to-air TV
rather than Sky or TNT
-
ALEX BYWATER: As the clock ticked towards the end of the opening quarter
and the packs of France and Ireland prepared to scrum down, all of a
sudden, the s...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment