Alvaro Morata (kulia) na N'Golo Kante (kushoto) wakipongezana baada ya wote kuifungia Chelsea katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Leicester City leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa King Power. Morata alifunga dakika ya 41 na Kante dakika ya 50, wakati bao la Leicester limefungwa na Jamie Vardy dakika ya 62 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment