Mshambuliaji wa Monaco, Thomas Lemar anayetakiwa na Arsenal akishangilia baada ya kuifungia timu yake ya taifa, Ufaransa mabao mawili dakika za 73 na 88 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Uholanzi usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu Kombe la Dunia. Mabao mengine ya Ufaransa yalifungwa na Antoine Griezmann dakika ya 14 na Kylian Mbappe dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rangers and Celtic return fire after being cited for Scottish Cup shame
game at Ibrox
-
Celtic and Rangers were last night locked in a war of words after the SFA
finally published the independent review into last season's Scottish Cup
shame ga...
45 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment