// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); LEMAR 'WA ARSENAL', AIPIGIA MBILI UFARANSA YAILAZA 4-0 UHOLANZI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE LEMAR 'WA ARSENAL', AIPIGIA MBILI UFARANSA YAILAZA 4-0 UHOLANZI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Friday, September 01, 2017

    LEMAR 'WA ARSENAL', AIPIGIA MBILI UFARANSA YAILAZA 4-0 UHOLANZI

    Mshambuliaji wa Monaco, Thomas Lemar anayetakiwa na Arsenal akishangilia baada ya kuifungia timu yake ya taifa, Ufaransa mabao mawili dakika za 73 na 88 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Uholanzi usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu Kombe la Dunia. Mabao mengine ya Ufaransa yalifungwa na Antoine Griezmann dakika ya 14 na Kylian Mbappe dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LEMAR 'WA ARSENAL', AIPIGIA MBILI UFARANSA YAILAZA 4-0 UHOLANZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top