Mshambuliaji wa Monaco, Thomas Lemar anayetakiwa na Arsenal akishangilia baada ya kuifungia timu yake ya taifa, Ufaransa mabao mawili dakika za 73 na 88 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Uholanzi usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu Kombe la Dunia. Mabao mengine ya Ufaransa yalifungwa na Antoine Griezmann dakika ya 14 na Kylian Mbappe dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Veteran piper celebrates surprise 100th birthday party
-
Bob McFie has composed countless songs and taught hundreds of young
musicians since picking up his first set of pipes aged three.
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment