Uwanja mpya mzuri zaidi duniani, wa MERCEDES-BENZ uliogharimu dola za Kimarekani Bilioni 1.5 kama unavyoonekana kwenye mwonekano mzuri haijawahi kutokea, ikiwemo paa la kufunga na kufungua. Uwanja huo ulifunguliwa mjini Atlanta, Georgia mwezi Agosti na utakuwa ukitumika kwa mechi na NFL na MLS – kwa kuanzia, Jumapili hii Atlanta United watacheza mechi yao ya kwanza ya MLS nyumbani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
AI coding startup Cursor, courted by SpaceX, picks London as European hub
-
By Sam Tabahriti LONDON, June 9 (Reuters) - AI coding startup Cursor, which
SpaceX has an option to buy for $60 billion, will open its European
headquarter...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment