Uwanja mpya mzuri zaidi duniani, wa MERCEDES-BENZ uliogharimu dola za Kimarekani Bilioni 1.5 kama unavyoonekana kwenye mwonekano mzuri haijawahi kutokea, ikiwemo paa la kufunga na kufungua. Uwanja huo ulifunguliwa mjini Atlanta, Georgia mwezi Agosti na utakuwa ukitumika kwa mechi na NFL na MLS – kwa kuanzia, Jumapili hii Atlanta United watacheza mechi yao ya kwanza ya MLS nyumbani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea ready to demand major fee for Pedro Neto amid Liverpool and Man
City interest - as former boss Enzo Maresca eyes reunion
-
KIERAN GILL: The Premier League club are not actively touting their
Portuguese 26-year-old for sale, but Blues insiders are aware of the asking
prices bein...
32 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment