Philippe Coutinho akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Brazil bao la pili dakika ya 76 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Ecuador kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi kwa kanda ya Amerika Kusini uliofanyika jana Uwanja wa Arena do Gremio mjini Porto Alegre, Rio Grande do Sul. Bao la kwanza la Brazil lilifungwa na Paulinho dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Elmo learns a life lesson what happens when you go against Knicks fans in
the NBA Finals
-
The lovable "Sesame Street" character didn't realize his well-meaning
message would not go over well in New York.
10 minutes ago




.png)
0 comments:
Post a Comment