Philippe Coutinho akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Brazil bao la pili dakika ya 76 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Ecuador kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi kwa kanda ya Amerika Kusini uliofanyika jana Uwanja wa Arena do Gremio mjini Porto Alegre, Rio Grande do Sul. Bao la kwanza la Brazil lilifungwa na Paulinho dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aston Villa defender Diego Carlos breaks silence on controversial decision
to disallow Axel Disasi's last-minute winner for Chelsea
-
Aston Villa defender Diego Carlos has taken to social media to break
silence on the controversial decision to disallow Axel Disasi's goal for
Chelsea at Vi...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment