• HABARI MPYA

    Wednesday, January 21, 2015

    MAN CITY YAICHAPA 2-0 HUMBURG ETIHAD

    Manchester City defender Bacary Sagna and Hamburg's Innocent Emeghara battle each other for possession of the ball
    Beki wa Manchester City, Bacary Sagna akimtoka mchezaji wa Hamburg, Innocent Emeghara katika mchezo wa kirafiki leo baina ya timu hizo Uwanja wa Etihad. City ilishinda 2-0, mabao ya Stevan Jovetic dakika ya 50 na Edin Dzeko dakika ya 74.

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2920356/Manchester-City-2-0-Hamburg-Stevan-Jovetic-Edin-Dzeko-Manuel-Pellegrini-s-men-friendly-victory-United-Arab-Emirates.html#ixzz3PUAGfmRe 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN CITY YAICHAPA 2-0 HUMBURG ETIHAD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top