Novak Djokovic akipeana mikono na Stan Wawrinka baada ya kumfunga katika Nusu Fainali ya Australian Open leo kwa seti 3-2 (7-6, 3-6, 6-4, 4-6, 6-0) Uwanja wa Rod Laver Arena na sasa atamenyana na Andy Murray katika fainali Jumapili mjini Melbourne. Ikumbukwe, Djokovic alimfunga Murray katika fainali za michuano hiyo mwaka 2011 na 2013.
Boks unleash big-game brutality on Borthwick's faltering England
-
Defeat by South Africa can, and does, happen to any team in world rugby,
but England need to stop their losing streak soon.
16 hours ago


.png)
0 comments:
Post a Comment