Novak Djokovic akipeana mikono na Stan Wawrinka baada ya kumfunga katika Nusu Fainali ya Australian Open leo kwa seti 3-2 (7-6, 3-6, 6-4, 4-6, 6-0) Uwanja wa Rod Laver Arena na sasa atamenyana na Andy Murray katika fainali Jumapili mjini Melbourne. Ikumbukwe, Djokovic alimfunga Murray katika fainali za michuano hiyo mwaka 2011 na 2013.
Vingegaard denies Pogacar to win opening Tour stage
-
Denmark's Jonas Vingegaard took the yellow jersey on the opening stage of
the Tour de France following a tense team time trial.
20 hours ago


.png)
0 comments:
Post a Comment