Novak Djokovic akipeana mikono na Stan Wawrinka baada ya kumfunga katika Nusu Fainali ya Australian Open leo kwa seti 3-2 (7-6, 3-6, 6-4, 4-6, 6-0) Uwanja wa Rod Laver Arena na sasa atamenyana na Andy Murray katika fainali Jumapili mjini Melbourne. Ikumbukwe, Djokovic alimfunga Murray katika fainali za michuano hiyo mwaka 2011 na 2013.
I am ready to prove my innocence, EeZee Tee tells court
-
By Lukman Olabiyi Music producer Ezekiel Onyedikachi, popularly known as
EeZee Tee, on Monday affirmed his readiness to prove his innocence in the
fraudu...
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment