Novak Djokovic akipeana mikono na Stan Wawrinka baada ya kumfunga katika Nusu Fainali ya Australian Open leo kwa seti 3-2 (7-6, 3-6, 6-4, 4-6, 6-0) Uwanja wa Rod Laver Arena na sasa atamenyana na Andy Murray katika fainali Jumapili mjini Melbourne. Ikumbukwe, Djokovic alimfunga Murray katika fainali za michuano hiyo mwaka 2011 na 2013.
Louis Rees-Zammit is set to sign for Super Bowl champions Kansas City
Chiefs on a £700,000 training deal - with ex-Wales wing looking to be a
permanent team-mate of Patrick Mahomes and Travis Kelce
-
Louis Rees-Zammit is set for a stunning move to Super Bowl champions Kansas
City Chiefs as the former Wales star inches closer to his NFL dream.
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment