Novak Djokovic akipeana mikono na Stan Wawrinka baada ya kumfunga katika Nusu Fainali ya Australian Open leo kwa seti 3-2 (7-6, 3-6, 6-4, 4-6, 6-0) Uwanja wa Rod Laver Arena na sasa atamenyana na Andy Murray katika fainali Jumapili mjini Melbourne. Ikumbukwe, Djokovic alimfunga Murray katika fainali za michuano hiyo mwaka 2011 na 2013.
At odds with Fifa, Uefa and Concacaf eye NEW national team tournament π
-
Amid the crisis with FIFA, UEFA and Concacaf have begun talks to organize a
NEW national team tournament.The competition would have its first edition
in 20...
1 minute ago


.png)
0 comments:
Post a Comment