Novak Djokovic akipeana mikono na Stan Wawrinka baada ya kumfunga katika Nusu Fainali ya Australian Open leo kwa seti 3-2 (7-6, 3-6, 6-4, 4-6, 6-0) Uwanja wa Rod Laver Arena na sasa atamenyana na Andy Murray katika fainali Jumapili mjini Melbourne. Ikumbukwe, Djokovic alimfunga Murray katika fainali za michuano hiyo mwaka 2011 na 2013.
Chris Paul Is the Best PG Fit for LeBron James, Los Angeles Lakers
-
How CP3, Kyrie, D-Lo and others fit with LeBron James and the Lakers.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment