• HABARI MPYA

    Wednesday, January 28, 2015

    AZAM FC YACHAPWA 1-0 NA TP MAZEMBE

    Azam FC imefungwa bao 1-0 na TP Mazembe katika mashindano ya timu nne yaliyoanza leo mjini Lubumbashi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Hata hivyo, taarifa haijamtaja mfungaji wa bao la Mazembe.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC YACHAPWA 1-0 NA TP MAZEMBE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top