• HABARI MPYA

    Wednesday, January 28, 2015

    AZAM FC NA TP MAZEMBE LEO LUBUMBASHI, ‘GEMU’ KURUSHWA LIVE AZAM TV

    Kikosi cha Azam FC kitamemyana na wenyeji wao TP Mazembe kuanzia Saa 10:00 jioni leo Lubumbashi

    RATIBA YA MASHINDANO YA TP MAZEMBE  

    Januari 28, 2015
    Saa 8:00 Mchana; 
    CS Don Bosco Vs ZESCO United 
    Saa 10.00 Jioni; TP Mazembe Vs Azam FC
    Januari 31,m 2015
    Saa 8:00 Mchana; 
    TP Mazembe Vs CS Don Bosco
    Saa 10.00 Jioni; 
    Azam FC Vs ZESCO United
    Februari 3, 2015
    Saa 8:00 Mchana; 
    CS Don Bosco Vs Azam FC
    Saa 10.00 Jioni; 
    TP Mazembe Vs ZESCO United FC
    Na Mwandishi Wetu, LUBUMBASHI
    MABINGWA wa Tanzania Bara, Azam FC watamemyana na mabingwa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Azam, FC Uwanja wa TP Mazembe mjini Lubumbashi leo.
    Mchezo huo utaanza Saa 10:00 jioni kwa saa za DRC na Saa 11:00 kwa Saa za Tanzania na unatarajiwa kurushwa ‘live’ na Televisheni ya Azam. 
    TP Mazembe imeandaa mashindano maalum mafupi yanayochezwa kwa mtindo wa Ligi, yakishirikisha timu nne, mbili kutoka nje ya Kongo, ambazo ni Azam FC na ZESCO United ya Zambia, wote mabingwa wan chi zao.
    Timu nyingine zinazoshiriki mashindano hayo ni 
    TP Mazembe na CS Don Bosco ya Kinshasa na mechi zinatarajiwa kuchezwa kwa siku tatu, kuanzia leo (Januari 28), Jumamosi ya Januari 31 na Jumanne ya Februari 3.
    Kila siku zitachezwa mechi mbili, za kwanza Saa 8:00 mchana na za pili Saa 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC NA TP MAZEMBE LEO LUBUMBASHI, ‘GEMU’ KURUSHWA LIVE AZAM TV Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top