• HABARI MPYA

        Wednesday, January 28, 2015

        AZAM FC NA TP MAZEMBE LEO LUBUMBASHI, ‘GEMU’ KURUSHWA LIVE AZAM TV

        Kikosi cha Azam FC kitamemyana na wenyeji wao TP Mazembe kuanzia Saa 10:00 jioni leo Lubumbashi

        RATIBA YA MASHINDANO YA TP MAZEMBE  

        Januari 28, 2015
        Saa 8:00 Mchana; 
        CS Don Bosco Vs ZESCO United 
        Saa 10.00 Jioni; TP Mazembe Vs Azam FC
        Januari 31,m 2015
        Saa 8:00 Mchana; 
        TP Mazembe Vs CS Don Bosco
        Saa 10.00 Jioni; 
        Azam FC Vs ZESCO United
        Februari 3, 2015
        Saa 8:00 Mchana; 
        CS Don Bosco Vs Azam FC
        Saa 10.00 Jioni; 
        TP Mazembe Vs ZESCO United FC
        Na Mwandishi Wetu, LUBUMBASHI
        MABINGWA wa Tanzania Bara, Azam FC watamemyana na mabingwa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Azam, FC Uwanja wa TP Mazembe mjini Lubumbashi leo.
        Mchezo huo utaanza Saa 10:00 jioni kwa saa za DRC na Saa 11:00 kwa Saa za Tanzania na unatarajiwa kurushwa ‘live’ na Televisheni ya Azam. 
        TP Mazembe imeandaa mashindano maalum mafupi yanayochezwa kwa mtindo wa Ligi, yakishirikisha timu nne, mbili kutoka nje ya Kongo, ambazo ni Azam FC na ZESCO United ya Zambia, wote mabingwa wan chi zao.
        Timu nyingine zinazoshiriki mashindano hayo ni 
        TP Mazembe na CS Don Bosco ya Kinshasa na mechi zinatarajiwa kuchezwa kwa siku tatu, kuanzia leo (Januari 28), Jumamosi ya Januari 31 na Jumanne ya Februari 3.
        Kila siku zitachezwa mechi mbili, za kwanza Saa 8:00 mchana na za pili Saa 
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: AZAM FC NA TP MAZEMBE LEO LUBUMBASHI, ‘GEMU’ KURUSHWA LIVE AZAM TV Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry