// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); TAIFA STARS MABORESHO NA RWANDA KATIKA PICHA JANA KIRUMBA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE TAIFA STARS MABORESHO NA RWANDA KATIKA PICHA JANA KIRUMBA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Friday, January 23, 2015

    TAIFA STARS MABORESHO NA RWANDA KATIKA PICHA JANA KIRUMBA


    Kiungo wa timu ya vijana chini ya umri wa miaka 23 ya Tanzania, maarufu kama Taifa Stars Maboreho, Salum Telela, akitafuta mbinu za kumtoka kiungo wa Tanznia Rusheshangoma Michael Rusheshangonga katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa jana Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza , timu hizo zilitoka sare ys 11
    Kiungo wa Taifa Stars Mboresgakipambana na bei wa reand
    Mshambuliaji wa Taifa Stars, Simon Msuva kimtoka jean Baotiset Muigarenza
    Kiungo wa Taifa Stars, Kevin Friday akimiliki mpira mbele ya wachezaji wa Rwanda 
    Beki wa Tanzania, Gardiel Michael akimtoka mchezaji wa Rwanda
    Beki wa Tanzania, Salim Mbonde akipasua katikati ya wachezaji wa Rwanda

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TAIFA STARS MABORESHO NA RWANDA KATIKA PICHA JANA KIRUMBA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top