// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); PACQUIAO NA AMIR KHAN WAKUBALIANA KUZIPIGA IWAPO MAYWEATHER ATACHOMOA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE PACQUIAO NA AMIR KHAN WAKUBALIANA KUZIPIGA IWAPO MAYWEATHER ATACHOMOA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Saturday, January 24, 2015

    PACQUIAO NA AMIR KHAN WAKUBALIANA KUZIPIGA IWAPO MAYWEATHER ATACHOMOA

    MABONDIA Manny Pacquiao na Amir Khan wamekutana kusini mashariki mwa Jiji la London na kujadili uwezekano wa kuzipiga baina yao, iwapo Floyd Mayweather hatakuwa tayari kupigana na yeyote kati yao.
    Khan na Pacquiao ni marafiki na wamekuwa wakifanya mazoezi pamoja wakati fulani, wakipeana sparring na walikutana Fitzroy Lodge Boxing Club kujadili pambano baina yao.
    Walisimama ulingoni na kupiga picha baada ya mazungumzo yao. Tayari Pacquiao amekubali kuzipiga na Mayweather Mei 2 mjini Las Vegas, lakini mpinzani wake huyo ndiye bado hajatoa jibu.
    Manny Pacquiao (left) was in London on Friday to discuss a potential future fight with Britain's Amir Khan
    Manny Pacquiao (kushoto) alikuwa London Ijumaa kwa mazungumzo na Amir Khan juu ya uwezekano wa kuzipiga

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/boxing/article-2923739/Manny-Pacquiao-Amir-Khan-hold-informal-discussions-possible-future-bout-neither-fight-Floyd-Mayweather.html#ixzz3PgPRKTYE 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PACQUIAO NA AMIR KHAN WAKUBALIANA KUZIPIGA IWAPO MAYWEATHER ATACHOMOA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top