• HABARI MPYA

    Sunday, January 25, 2015

    SIMBA SC YAGAWANA POINTI NA AZAM FC, SARE 1-1

    Washambuliaji, Emmanuel Okwi wa Simba SC (kushoto) na Kipre Tchetche wa Azam FC (kulia) wakipambana katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, bao la Simba akifunga Okwi kipindi cha kwanza na la Azam Kipre Tchetche kipindi cha pili.  

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC YAGAWANA POINTI NA AZAM FC, SARE 1-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top