Mfungaji wa bao la Zambia, Emmanuel Mayuka (kushoto) akipambana na Rami Bedoui wa Tunisia katika mchezo wa Kundi B, Fainali za Mataifa Uwanja wa Ebebiyin nchini Equatorial Guinea leo. Tunisa ilitoka nyuma na kushinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Ahmed Akaichi dakika ya 70 na Yassine Chikhaoui dakika ya 89, wakati Mayuka aliifungia Zambia bao la kuongoza dakika ya 59.
Jackman & Reynolds react to funny Olympic moments
-
Hugh Jackman and Ryan Reynolds watch and react to funny Olympic moments.
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment