Mfungaji wa bao la Zambia, Emmanuel Mayuka (kushoto) akipambana na Rami Bedoui wa Tunisia katika mchezo wa Kundi B, Fainali za Mataifa Uwanja wa Ebebiyin nchini Equatorial Guinea leo. Tunisa ilitoka nyuma na kushinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Ahmed Akaichi dakika ya 70 na Yassine Chikhaoui dakika ya 89, wakati Mayuka aliifungia Zambia bao la kuongoza dakika ya 59.
Two fishermen rescued clinging to a cooler after five days adrift in the
Pacific
-
Two Mexican fishermen were rescued by the Navy on August 19, found clinging
to a cooler 150 miles from shore after their boat sank and left them adrift
in ...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment