// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); MAYWEATHER NA JEURI YA FEDHA, SASA NI FERRARI ENZO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MAYWEATHER NA JEURI YA FEDHA, SASA NI FERRARI ENZO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Friday, January 23, 2015

    MAYWEATHER NA JEURI YA FEDHA, SASA NI FERRARI ENZO

    MBABE wa ndondi duniani, Floyd Mayweather ameendeleza mbwembwe za kuonyesha jeuri yake fedha baada ya kutambulisha gari mpya kali.
    Bondia huyo ambaye hajawahi kupoteza pambano, amewahi kuposti picha akiwa amepozi na magari yake aina ya Lamorghini, Bugatti na Porsche 911 awali katika Instagram. 
    Na baada ya kutoposti za gari hata analolimiliki tangu Januari 8, Mayweather sasa ameona ni wakati mwafaka kuwaonyesha kitu wafuasi wake Milioni 4.5 kwa kuposti picha ya gari lake jipya, Ferrari Enzo. Thamani ya gari hiyo inakadiriwa kuwa dola za Kimarekani Milioni 1. 
    Floyd Mayweather uploaded the above image to his Instagram account of his Ferrari Enzo
    Floyd Mayweather ameposti picha hii akiwa na Ferrari Enzo lake

    PICHA ZA MAGARI ZAIDI NA NDEGE YAKE NWENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/boxing/article-2923221/Floyd-Mayweather-poses-Ferrari-Enzo-takes-time-hype-surrounding-potential-Manny-Pacquiao-bout.html#ixzz3PeLmp0Jw 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAYWEATHER NA JEURI YA FEDHA, SASA NI FERRARI ENZO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top