// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); CAF YAMFUGIA GERVINHO WA IVORY COAST - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE CAF YAMFUGIA GERVINHO WA IVORY COAST - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Wednesday, January 21, 2015

    CAF YAMFUGIA GERVINHO WA IVORY COAST

    MSHAMBULIAJI wa Ivory Coast, Gervinho amefungiwa mechi mbili za Kombe la Mataifa ya Afrika leo, fainali zinazoendelea nchini Equatorial Guine.
    Mchezaji huyo wa zamani wa Arsenal, anayecheza Roma kwa sasa, alipewa kadi nyekundu ya moja kwa moja jana baada ya kumzaba kibao kiungo wa Guinea, Naby Keita katika sare ya 1-1 mchezo wa Kundi D.
    Lakini kulingana na utaratibu wake, Shirikisho la Soka Afrika (CAF), limetangaza adhabu hiyo leo, maana yake Gervinho atakosa mechi zote zilizobaki za Kundi D.
    Ivory Coast forward Gervinho was given a two-match suspension for slapping an opponent
    Mshambuliaji wa Ivory Coast, Gervinho amefungiwa mechi mbili
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CAF YAMFUGIA GERVINHO WA IVORY COAST Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top