• HABARI MPYA

    Friday, July 01, 2022

    COASTAL UNION WAWASILI ARUSHA KUIVAA YANGA


    MSHAMBULIAJI tegemeo wa Coastal Union, Abdul Hamisi Suleiman ‘Sopu’ akiteremka kwenye basi baada ya kuwasili Arusha kuelekea Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) dhidi ya Yanga Jumamosi Uwanja wa Sheikh Amri Abeid.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: COASTAL UNION WAWASILI ARUSHA KUIVAA YANGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top