HISPANIA NA BRAZIL ZATINGA FAINALI YA SOKA OLIMPIKI
HISPANIA itamenyana na Brazil kuwania Medali ya Dhahabu ya Olimpiki katika soka Jumamosi, baada ya bao la dakika za nyongeza la Marco Asensio kuwapa ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Japan. Brazil kwa upande wao waliwatoa wapinzani wao wa Amerika, Mexico kwa penalti 4-1 kufuatia sare ya 0-0.
Arsenal set to make improved Raphinha bid
-
Arsenal are expected to make an improved bid for Leeds
United forward Raphinha. Arsenal's opening bid for Raphinha was rejected as
it fell below Leeds' val...
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni