• HABARI MPYA

    Monday, August 09, 2021

    MAKOCHA 19 NCHINI WAJITOKEZA KUSHIRIKI KOZI YA UALIMU WA SOKA NGAZI YA DIPLOMA A YA CAF INAYOFUNDISHWA NA MKUFUNZI WA KIMATAIFA


    MKUFUNZI wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Urlic Mathiot kutoka Shelisheli akifundisha Kozi ya Ukocha Diploma A ya shirikisho hilo, ambayo ni ya mwaka mmoja na inashirikisha makocha 19 nchini.



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAKOCHA 19 NCHINI WAJITOKEZA KUSHIRIKI KOZI YA UALIMU WA SOKA NGAZI YA DIPLOMA A YA CAF INAYOFUNDISHWA NA MKUFUNZI WA KIMATAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top