// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
KMKM YAIPIGA AZAM FC PUNGUFU 1-0 NA KUTWAA NAFASI YA TATU KOMBE LA KAGAME LEO MKAPA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEKMKM YAIPIGA AZAM FC PUNGUFU 1-0 NA KUTWAA NAFASI YA TATU KOMBE LA KAGAME LEO MKAPA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
KMKM YAIPIGA AZAM FC PUNGUFU 1-0 NA KUTWAA NAFASI YA TATU KOMBE LA KAGAME LEO MKAPA
KMKM ya Zanzibar imefanikiwa kumaliza nafasi ya tatu kwenye michuano ya Kombe la Kagame baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Azam FC jioni ya leo Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam. Katika mchezo huo ambao Azam FC ilimaliza pungufu baada ya mchezaji wake, Oscar Masai kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 76, bao pekee la KMKM limefungwa na Ilyasa Mohamed dakika ya tatu tu.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment