• HABARI MPYA

    Wednesday, August 25, 2021

    PRINCE DUBE AANZA MAZOEZI MEPESI NDOLA


    MSHAMBULIAJI Mzimbabwe wa Azam FC, Prince Dube Mpumelelo aliyekuwa majeruhi tangu Julai leo ameanza mazoezi mepesi katika kambi ya timu hiyo Jijini Ndola, Zambia kujiandaa na msimu mpya
     

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PRINCE DUBE AANZA MAZOEZI MEPESI NDOLA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top