• HABARI MPYA

    Thursday, August 19, 2021

    POULSEN AMREJESHA KABWILI TAIFA STARS

    KOCHA Mkuu wa Taifa Stars, Mdenmark Kim Poulsen amemrejesha kikosini kipa Ramadhani Kabwili wa Yanga katika kikosi kitakachoingia kambini Agosti 24 kujiandaa na mechi za kufuzu Kombe la Dunia.
    Taifa Stars itamenyana na DRC Septemba 2 Uwanja wa TP Mazembe mjini Lubumbashi katika mchezo wa Kundi J kufuzu Kombe la Dunia kabla ya kurejea Dar es Salaam  Septemba 7 kumenyana na Madagascar na Oktoba 10 itaifuata Benin kukamailisha mechi za mzunguko wa kwanza wa kundi lake.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: POULSEN AMREJESHA KABWILI TAIFA STARS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top