MAKIPA wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars wakiwa mazoezini leo Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam baada ya kuingia kambini leo kujiandaa na michezo ya kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Septemba 2 mjini Lubumbashi na Madagascar Septemba 7 nyumbani.
Matildas are SLAMMED for 'flustercluck' tactics in 7-0 drubbing by Spain that was 'experiment'
-
The Matildas have been hammered for their wasted friendly against Spain,
losing 7-0 in an embarrassing game labelled 'crap' by critics who slammed
coach To...
Saa 1 iliyopita
0 maoni:
Chapisha Maoni