MAKIPA wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars wakiwa mazoezini leo Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam baada ya kuingia kambini leo kujiandaa na michezo ya kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Septemba 2 mjini Lubumbashi na Madagascar Septemba 7 nyumbani.
Horse dies in the second race of the Cheltenham Festival
-
Hansard has suffered a fatal injury in the Arkle Chase at Cheltenham,
marking the first death of a horse at this year's Festival.
45 minutes ago




.png)
0 comments:
Post a Comment