// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); TWIGA STARS YAPANGWA KUNDI B MICHUANO YA COSAFA PAMOJA NA BOTSWANA, SUDAN KUSINI NA ZIMBABWE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE TWIGA STARS YAPANGWA KUNDI B MICHUANO YA COSAFA PAMOJA NA BOTSWANA, SUDAN KUSINI NA ZIMBABWE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Friday, August 13, 2021

    TWIGA STARS YAPANGWA KUNDI B MICHUANO YA COSAFA PAMOJA NA BOTSWANA, SUDAN KUSINI NA ZIMBABWE


    TANZANIA imepangwa Kundi B katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Kusini mwa Afrika kwa Wanawake, ijulikanayo kama COSAFA Cup 2021.
    Katika michuano hiyo, Twiga Stars imewekwa kundi moja na Botswana, Sudan Kusini na Zimbabwe, wakati Kundi A kuna wenyeji, Afrika Kusini, Angola, Malawi na Msumbiji na Kundi C zipo Zambia, Namibia, Eswatini na Uganda.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TWIGA STARS YAPANGWA KUNDI B MICHUANO YA COSAFA PAMOJA NA BOTSWANA, SUDAN KUSINI NA ZIMBABWE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top