// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
TWIGA STARS YAPANGWA KUNDI B MICHUANO YA COSAFA PAMOJA NA BOTSWANA, SUDAN KUSINI NA ZIMBABWE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINETWIGA STARS YAPANGWA KUNDI B MICHUANO YA COSAFA PAMOJA NA BOTSWANA, SUDAN KUSINI NA ZIMBABWE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
TWIGA STARS YAPANGWA KUNDI B MICHUANO YA COSAFA PAMOJA NA BOTSWANA, SUDAN KUSINI NA ZIMBABWE
TANZANIA imepangwa Kundi B katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Kusini mwa Afrika kwa Wanawake, ijulikanayo kama COSAFA Cup 2021. Katika michuano hiyo, Twiga Stars imewekwa kundi moja na Botswana, Sudan Kusini na Zimbabwe, wakati Kundi A kuna wenyeji, Afrika Kusini, Angola, Malawi na Msumbiji na Kundi C zipo Zambia, Namibia, Eswatini na Uganda.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment