// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
AZAM FC WAMZAWADIA JEZI MPYA BOSI KAMPUNI YA BAKHRESA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEAZAM FC WAMZAWADIA JEZI MPYA BOSI KAMPUNI YA BAKHRESA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
AZAM FC WAMZAWADIA JEZI MPYA BOSI KAMPUNI YA BAKHRESA
MENEJA Mauzo na Masoko wa Azam FC, Tunga Ally, leo amemtembelea Ofisa Mtendaji Mkuu wa Bakhresa Food Products, Salim Aziz na kumkabidhi zawadi ya jezi za msimu mpya za klabu hiyo. Baada ya kumpatia zawadi hiyo, Salim Aziz, alielezea furaha yake huku akifurahishwa zaidi kwa ubunifu na ubora wa jezi zetu.
Katika hatua nyingine Salim Aziz, alitumia nafasi hiyo kuitakia kila la kheri Azam FC ili ifanye vizuri kitaifa na kimataifa kwenye msimu mpya unaotarajiwa kuanza Novemba 29 mwaka huu.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment