TIMU ya Azam FC jana imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Kabwe Worriers bao pekee la mshambuliaji Mzimbabwe, Prince Dube Mpumelelo katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Levy Mwanawasa Jijini Ndola nchini Zambia. Huo ulikuwa mchezo wa pili wa kujipima nguvu kwa Azam FC katika kambi yake ya kujiandaa na msimu mpya Jijini Ndola kufuatia kuchapwa 4-0 na Red Arrows katika mchezo wa kwanza nchini humo Jumatano iliyopita.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment