• HABARI MPYA

    Monday, August 09, 2021

    YANGA SC YAWATEMA MAKIPA WOTE TEGEMEO WA MSIMU ULIOPITA, MKENYA FAROUK SHIKALO NA MZAWA METACHA MNATA


    KLABU ya Yanga imeachana na makipa wake wawili, Mkenya Farouk Shikalo na mzawa, Metacha Mnata baada ya wote kuitumikia timu kwa misimu miwili.
    Wote wawili walisajiliwa baada ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2019 nchini Misri katika michuano ambayo Kenya na Tanzania zilipangwa kundi moja, C na walikuwa makipa wa pili Taifa Stars na Harambee Stars.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC YAWATEMA MAKIPA WOTE TEGEMEO WA MSIMU ULIOPITA, MKENYA FAROUK SHIKALO NA MZAWA METACHA MNATA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top