• HABARI MPYA

    Tuesday, August 17, 2021

    YANGA SC WALIVYOANZA MAZOEZI MARRAKECH


    MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga SC, Mkongo Fiston Kalala Mayele akiwa mazoezini na timu yake kwenye kambi ya Marrakech nchini Morocco kujiandaa na msimu mpya


    Beki mpya wa Yanga SC, Mkongo Djuma Shabani akiwa mazoezini leo Marrakech


    Kiungo Mrundi Said Ntibanzokiza akiwa mazoezini leo Morocco


    Kipa mpya wa Yanga kutoka Mali, Djigui Diarra akiwa mazoezini leo Marrakech


    Wachezaji wa Yanga mazoezini leo Marrakech katika kambi ya kujiandaa na msimu GONGA HAPA KUTAZAMA VIDEO

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC WALIVYOANZA MAZOEZI MARRAKECH Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top