MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga SC, Mkongo Fiston Kalala Mayele akiwa mazoezini na timu yake kwenye kambi ya Marrakech nchini Morocco kujiandaa na msimu mpya
Beki mpya wa Yanga SC, Mkongo Djuma Shabani akiwa mazoezini leo Marrakech
Kiungo Mrundi Said Ntibanzokiza akiwa mazoezini leo Morocco
Kipa mpya wa Yanga kutoka Mali, Djigui Diarra akiwa mazoezini leo Marrakech
Wachezaji wa Yanga mazoezini leo Marrakech katika kambi ya kujiandaa na msimu GONGA HAPA KUTAZAMA VIDEO
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment