• HABARI MPYA

    Tuesday, August 31, 2021

    STARS YAIFUATA DRC LUBUMBASHI MECHI ALHAMISI


    BEKI wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars Shomari Kapombe akiwa kwenye ndege wakati wa safari ya kwenda Lubumbashi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kwa ajilli ya mchezo wake wa kwanza wa Kundi J kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya wenyeji Alhamisi.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: STARS YAIFUATA DRC LUBUMBASHI MECHI ALHAMISI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top