Manahodha John Bocco wa Simba SC (kushoto) na Juma Abdul wa Yanga (kulia) katika mkutano maalum na Waandishi wa Habari kuelekea mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baina ya watani hao wa jadi kuanzia Saa 11:45 jioni ya kesho Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam.
Kocha wa Simba, Mbelgiji Sven Ludwig Vandenbroeck (katikati) akizungumza jambo kwenye mkutano na Waandishi wa Habari leo. Kulia n kocha wa Yanga Charles Boniface Mkwasa
Sven Ludwig Vandenbroeck (kushoto) akiwa na Nahodha wake, John Bocco, Nahodha wa Yanga, Juma Abdul pamoja na kocha wa mahasimu wake, Charles Boniphace Mkwasa
White Hart Lane 2004: In the Invincibles' words
-
Members of our famed undefeated squad share their memories of one of the
most famous days in our history
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment