Wachezaji wa Liverpool wakipongeza kwa ushindi wa 15 mfululizo kwenye mechi 16, kufuatia kuwachapa wenyeji, AFC Bournemouth 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Vitality, mabao ya Alex Oxlade-Chamberlain dakika ya 35, Naby Keita dakika ya 44 na Mohamed Salah dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Leicester sack Kirk after relationship allegation
-
Leicester City sack manager Willie Kirk, who had been suspended by the
Women's Super League club.
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment