Wachezaji wa Liverpool wakipongeza kwa ushindi wa 15 mfululizo kwenye mechi 16, kufuatia kuwachapa wenyeji, AFC Bournemouth 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Vitality, mabao ya Alex Oxlade-Chamberlain dakika ya 35, Naby Keita dakika ya 44 na Mohamed Salah dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chile's Boric admits 'errors' in final address as president
-
STORY: :: Santiago, Chile / March 10, 2026
:: Chilean outgoing president Gabriel Boric admits to 'errors' during his
term in his final national address
...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment