Mshambuliaji Mzimbabwe, Donald Ngoma akiifungia bao la pili Azam FC kwa mkwaju wa penalti jana jioni baada ya Idd Suleiman 'Nado' kuangushwa kwenye boksi katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Dar City kwenye mchezo wa kirafiki Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam, bao lingine likifungwa na Mzambia, Obrey Chirwa
Watch: Lille midfielder Ethan Mbappe shown red card for ugly elbow
-
Ethan Mbappé was shown a red card in Lille's Champions League match against
Real Betis on Tuesday.
1 day ago



.png)
0 comments:
Post a Comment