• HABARI MPYA

    Friday, December 20, 2019

    NGOMA ALIVYOIFUNGIA AZAM FC KWA PENALTI IKIILAZA DAR CITY 2-0 MECHI YA KIRAFIKI UHURU

    Mshambuliaji Mzimbabwe, Donald Ngoma akiifungia bao la pili Azam FC kwa mkwaju wa penalti jana jioni baada ya Idd Suleiman 'Nado' kuangushwa kwenye boksi katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Dar City kwenye mchezo wa kirafiki Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam, bao lingine likifungwa na Mzambia, Obrey Chirwa 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NGOMA ALIVYOIFUNGIA AZAM FC KWA PENALTI IKIILAZA DAR CITY 2-0 MECHI YA KIRAFIKI UHURU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top