• HABARI MPYA

    Friday, December 20, 2019

    ARTETA ASAINI MIAKA MITATU NA NUSU KUIKOCHI ARSENAL

    Aliyekuwa Kocha Msaidizi wa Manchester City, Mikel Arteta akiwa ameshika jezi ya Arsenal baada ya kuthibitishwa kusaini mkataba wa miaka mitatu na nusu kuwa kocha mpya wa klabu hiyo aliyowahi kuichezea, akichukua mikoba ya Mspaniola mwenzake, Unai Emery aliyefukuzwa 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARTETA ASAINI MIAKA MITATU NA NUSU KUIKOCHI ARSENAL Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top