Marcus Rashford akishangilia na mchezaji mwenzake, Anthony Martial baada ya wote kuifungia Manchester United katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Colchester United kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao. Rashford alifunga dakika ya 51 na Martial dakika ya 61, wakati bao lingine Ryan Jackson wa Colchester United alijifunga dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man City host Liverpool, Port Vale face Chelsea - full FA Cup draw
-
League One Port Vale's reward for beating Sunderland in the FA Cup is a
quarter-final tie away to Chelsea, while Manchester City will host
Liverpool in a h...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment