Marcus Rashford akishangilia na mchezaji mwenzake, Anthony Martial baada ya wote kuifungia Manchester United katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Colchester United kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao. Rashford alifunga dakika ya 51 na Martial dakika ya 61, wakati bao lingine Ryan Jackson wa Colchester United alijifunga dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NUT chapter urges Kaduna govt to reverse teachers’ sack
-
(NAN) Alhaji Babangida Sa’idu, Vice Chairman, Nigerian Union of Teachers
(NUT) Sokoto State Chapter, has urged the Kaduna State Government to
reverse its...
Dakika 9 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni