Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia bao la tatu Manchester City dakika ya 69 hilo likiwa bao lake la kwanza kufunga nyumbani tangu Januari, timu hiyo ikitoka nyuma na kushinda 3-1 dhidi ya Leicester City leo Uwanja wa Etihad katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Riyad Mahrez dakika ya 30 na Ilkay Gundogan kwa penalti dakika ya 43 kufuatia Jamie Vardy kuitanguliza Leicester kwa bao la dakika ya 22 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England v New Zealand: 'It's lodged between his legs!' Billings removes Wagner with bizarre catch
-
Watch the moment Sam Billings takes a bizarre catch to remove New Zealand's
Neil Wagner on day four of the third Test at Headingley.
Dakika 13 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni