Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia bao la tatu Manchester City dakika ya 69 hilo likiwa bao lake la kwanza kufunga nyumbani tangu Januari, timu hiyo ikitoka nyuma na kushinda 3-1 dhidi ya Leicester City leo Uwanja wa Etihad katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Riyad Mahrez dakika ya 30 na Ilkay Gundogan kwa penalti dakika ya 43 kufuatia Jamie Vardy kuitanguliza Leicester kwa bao la dakika ya 22 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🏆 Champions League returns: all you need to know about the last 16
-
The UEFA Champions League enters its most exciting phase. After a draw that
resulted in matchups worthy of an early final, the 16 best teams on the
contine...
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment