Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia bao la tatu Manchester City dakika ya 69 hilo likiwa bao lake la kwanza kufunga nyumbani tangu Januari, timu hiyo ikitoka nyuma na kushinda 3-1 dhidi ya Leicester City leo Uwanja wa Etihad katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Riyad Mahrez dakika ya 30 na Ilkay Gundogan kwa penalti dakika ya 43 kufuatia Jamie Vardy kuitanguliza Leicester kwa bao la dakika ya 22 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WWE NXT Results: Winners, Live Grades, Reaction and Highlights From May 7
-
Following two eventful weeks of Spring Breakin', NXT returned to its
regular Tuesday grind but still promised big moments building toward
Battleground. After…
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment