Raheem Sterling (kushoto) akishangilia baada ya kuwafungia mabao mawili mabingwa watetezi, Manchester City dakika za 50 na 70 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyej, Oxford United kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup usiku wa jana Uwanja wa The Kassam. Bao lingine la Man City lilifungwa na Joao Cancelo dakika ya 22, wakati la Oxford United lilifungwa na Matt Taylor dakika ya 46 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mohamed Salah enjoys a holiday on Mykonos after signing new £400,000-a-week deal at Liverpool
-
Salah was spotted among the throngs enjoying his time at Principote beach
as he recovers from a gruelling football season in which he played 51
matches for...
Dakika 10 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni