Beki wa Liverpool, Trent Alexander-Arnold akishangilia kibabe mbele ya mashabiki wao baada ya kufunga bao la nne dakika ya 78 akimalizia pasi ya Sadio Mane katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Leicester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa King Power, Leicester, Leicestershire. Mabao mengne ya Liverpool yalfungwa na Roberto Firmino dakika ya 31 na 74 mara zote akimalizia pasi Alexander-Arnold, wakati bao la pili lilifungwa na James Milner kwa penalti dakika ya 71 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2023/24 Ghana Premier League: Week 27 Match Preview – RTU vs. Nsoatreman
FC
-
Bottom-placed RTU welcome Nsoatreman FC to the Naa Sheriga Sports Complex
for premier league business on Sunday, April 21 2024.The Pride of the North
are a...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment