Beki wa Liverpool, Trent Alexander-Arnold akishangilia kibabe mbele ya mashabiki wao baada ya kufunga bao la nne dakika ya 78 akimalizia pasi ya Sadio Mane katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Leicester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa King Power, Leicester, Leicestershire. Mabao mengne ya Liverpool yalfungwa na Roberto Firmino dakika ya 31 na 74 mara zote akimalizia pasi Alexander-Arnold, wakati bao la pili lilifungwa na James Milner kwa penalti dakika ya 71 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tyson Fury DEFENDS rival Anthony Joshua and says he has 'made it' ahead of Oleksandr Usyk rematch
-
Joshua came under intense scrutiny after being beaten by Ukrainian
Oleksandr Usyk at the Tottenham Stadium in September, which saw him lose
the WBA, WBO, I...
Dakika 8 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni