Kipa wa Manchester United, David de Gea akisikitika baada ya kufanya makosa yaliyomuwezesha Ismaila Sarr kuifungia Watford bao la kwanza dakika ya 50 Mashetani Wekundu wakichapwa 2-0 na wenyeji wao hao kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Vicarage Road. Bao la pili la Watford limefungwa na Troy Deeney kwa penalti baada ya Aaron Wan-Bissaka kumchezea rafu Sarr PICHA ZAIDI GONGA HAPA
APC: Why Atiku, Obi pose no threats to Tinubu – Morka party spokesman
-
Speaking to Sunday Sun in Abuja, Morka delved into several issues,
particularly the chances of the opposition in the forthcoming presidential
election, w...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment