Kipa wa Manchester United, David de Gea akisikitika baada ya kufanya makosa yaliyomuwezesha Ismaila Sarr kuifungia Watford bao la kwanza dakika ya 50 Mashetani Wekundu wakichapwa 2-0 na wenyeji wao hao kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Vicarage Road. Bao la pili la Watford limefungwa na Troy Deeney kwa penalti baada ya Aaron Wan-Bissaka kumchezea rafu Sarr PICHA ZAIDI GONGA HAPA
State police bill will be passed this week – Bamidele
-
Leader of the Senate, Opeyemi Bamidele, has disclosed that the Senate would
this week begin fast-tracking the constitutional amendment process for the
es...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment