Kipa wa Manchester United, David de Gea akisikitika baada ya kufanya makosa yaliyomuwezesha Ismaila Sarr kuifungia Watford bao la kwanza dakika ya 50 Mashetani Wekundu wakichapwa 2-0 na wenyeji wao hao kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Vicarage Road. Bao la pili la Watford limefungwa na Troy Deeney kwa penalti baada ya Aaron Wan-Bissaka kumchezea rafu Sarr PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Euro 2022 will attract the BIGGEST crowd in the history of the women's tournament
-
A record number of spectators, a new highest attendance in England and
sell-out crowds. Euro 2022 will provide further proof, if any was needed,
of the dir...
Dakika 20 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni