Mshambuliaji Mzambia wa Azam FC, Obrey Chirwa akichukua mpira kwa ustadi wa hali ya juu mbele ya beki wa Green Warriors katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi mjini Dar es Salaam. Azam FC ilishinda 5-1, mabao yake yakifungwa na washambuliaji Mzimbabwe, Donald Ngoma mawili, Muivory Coast Richard Ella Djodi na viungo Joseph Mahundi na Iddi Kipagwile kwa penalti
England v New Zealand: 'It's lodged between his legs!' Billings removes Wagner with bizarre catch
-
Watch the moment Sam Billings takes a bizarre catch to remove New Zealand's
Neil Wagner on day four of the third Test at Headingley.
Dakika 12 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni