Mshambuliaji Mzambia wa Azam FC, Obrey Chirwa akichukua mpira kwa ustadi wa hali ya juu mbele ya beki wa Green Warriors katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi mjini Dar es Salaam. Azam FC ilishinda 5-1, mabao yake yakifungwa na washambuliaji Mzimbabwe, Donald Ngoma mawili, Muivory Coast Richard Ella Djodi na viungo Joseph Mahundi na Iddi Kipagwile kwa penalti
Burna Boy’s grandfather hails Nigeria’s dominance in Afrobeat
-
Veteran broadcaster and music executive, Benson Idonije, has praised
Nigeria’s continued leadership in Afrobeat music, saying the country
remains the dri...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment