Nahodha Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur mabao mawili dakika ya nne na 54 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Burnley kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Tottenham Hotspur mjini London. Mabao mengine ya timu ya kocha Mreno, Jose Mourinho yamefungwa na Lucas Moura dakika ya tisa, Son Heung-Min dakika ya 32 na Moussa Sissoko dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gary Neville dismisses three big name managers linked with the Manchester
United job and says he'd rather KEEP Erik ten Hag then hand the reins over
to 'someone who isn't a good fit' for the club
-
Gary Neville has shutdown three potential managers linked with the
Manchester United job should Erik ten Hag get sacked from the role.
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment