Nahodha Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur mabao mawili dakika ya nne na 54 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Burnley kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Tottenham Hotspur mjini London. Mabao mengine ya timu ya kocha Mreno, Jose Mourinho yamefungwa na Lucas Moura dakika ya tisa, Son Heung-Min dakika ya 32 na Moussa Sissoko dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cristiano Ronaldo breaks down in tears wearing Diogo Jota's shirt after
Portugal 'won for him' at the World Cup, a year on from Liverpool star's
car crash death
-
After the final whistle, an emotional Cristiano Ronaldo held up and pulled
on a Portugal shirt bearing the number 21, a tribute to late team-mate
Diogo Jota.
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment