Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool mabao mawili dakika za 38 na 90 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Anfield. Liverpool inafikisha pointi 49 baada ya ushindi huo na kuendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi 10 zaidi ya Leicester City wanaofuatia katika nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
State police bill will be passed this week – Bamidele
-
Leader of the Senate, Opeyemi Bamidele, has disclosed that the Senate would
this week begin fast-tracking the constitutional amendment process for the
es...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment