Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool mabao mawili dakika za 38 na 90 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Anfield. Liverpool inafikisha pointi 49 baada ya ushindi huo na kuendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi 10 zaidi ya Leicester City wanaofuatia katika nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Borno: How abductors killed my husband, molested me – Rescued victims
recount ordeal
-
Freed captives from Ngoshe community in Gwoza Local Government Area of
Borno State have recounted the pain, abuse and deprivation they suffered
during mo...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment