Cristiano Ronaldo akiwa juu umbali wa mita 2.56 kuifungia bao la ushindi Juventus kwa kichwa dakika ya 45 ikiwalaza wenyeji, Sampdoria 2-1 katika mchezo wa Serie A usiku wa jana Uwanja wa Comunale Luigi Ferraris mjini Genova. Juventus ilitangulia kwa bao la Paulo Dybala dakika ya 19, kabla ya Gianluca Caprari kuisawazishia Sampdoria dakika ya 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
‘One of my outstanding ministers’ – Tinubu salutes Umahi on birthday
-
President Bola Tinubu has congratulated the Minister of Works, Engineer
David Umahi, as he marks his birthday on July 25, describing him as one of
the mo...
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment