• HABARI MPYA

    Thursday, December 19, 2019

    RONALDO ARUKA JUU 'ILE MBAYA' KUIFUNGIA JUVENTUS BAO LA USHINDI

    Cristiano Ronaldo akiwa juu umbali wa mita 2.56 kuifungia bao la ushindi Juventus kwa kichwa dakika ya 45 ikiwalaza wenyeji, Sampdoria 2-1 katika mchezo wa Serie A usiku wa jana Uwanja wa Comunale Luigi Ferraris mjini Genova.  Juventus ilitangulia kwa bao la Paulo Dybala dakika ya 19, kabla ya Gianluca Caprari kuisawazishia Sampdoria dakika ya 35 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO ARUKA JUU 'ILE MBAYA' KUIFUNGIA JUVENTUS BAO LA USHINDI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top