Afisa Habari wa klabu ya Simba, Hajji Sunday Manara akiwa na kocha mpya Mbelgiji, Sven Ludwig Vandenbroeck mwenye umri wa miaka 40 baada ya kuwasili nchini jana kwa ajili ya kusaini mkataba wa kujiunga na klabu hiyo kufuatia kuachana na timu ya taifa ya Zambia. Vandenbroeck aliyezaliwa Septemba 22 mwaka 1979 mjini Vilvoorde, Ubelgiji anazidiwa mwaka mmoja na msaidizi wake, Suleiman Matola aliyezaliwa Aprili 24 mwaka 1978 mjini Kigoma
NFL Rumors: Jaycee Horn's $12.5M Panthers Contract Option Picked Up for
2025 Season
-
A busy weekend for the Carolina Panthers continued with cornerback Jaycee
Horn set to have his fifth-year option picked up. Per NFL Network's Ian
Rapoport,…
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment