• HABARI MPYA

    Thursday, December 26, 2019

    ARSENAL YALAZIMISHWA SARE YA 1-1 NA AFC BOURNEMOUTH

    Kiungo Mjerumani, Mesut Ozil akimtoka Mcolombia, Jefferson Lerma kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Vitality mjini AFC Bournemouth. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, Dan Gosling akianza kuwafungia wenyeji, Bournemouth dakika ya 35 kabla ya Pierre-Emerick Aubameyang kuisawazishia Arsenal dakika ya 63 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL YALAZIMISHWA SARE YA 1-1 NA AFC BOURNEMOUTH Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top