Kiungo Mjerumani, Mesut Ozil akimtoka Mcolombia, Jefferson Lerma kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Vitality mjini AFC Bournemouth. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, Dan Gosling akianza kuwafungia wenyeji, Bournemouth dakika ya 35 kabla ya Pierre-Emerick Aubameyang kuisawazishia Arsenal dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Three Memorable Moments From The NHL's Top Rivalries In 2025–2026
-
From some of the top rivalries in the NHL currently, here are three
memorable moments that transpired in the 2025-26 season.
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment