Kiungo Mjerumani, Mesut Ozil akimtoka Mcolombia, Jefferson Lerma kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Vitality mjini AFC Bournemouth. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, Dan Gosling akianza kuwafungia wenyeji, Bournemouth dakika ya 35 kabla ya Pierre-Emerick Aubameyang kuisawazishia Arsenal dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lewis Hamilton suffers ANOTHER 'gutting' qualifying session as seven-time
world champion and team-mate Charles Leclerc are eliminated early at
Ferrari's home race amid challenging debut season
-
Lewis Hamilton will start Ferrari's home Emilia-Romagna Grand Prix in P12,
one place behind his team-mate Charles Leclerc who was also bounced out in
Q2.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment