Kiungo Mjerumani, Mesut Ozil akimtoka Mcolombia, Jefferson Lerma kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Vitality mjini AFC Bournemouth. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, Dan Gosling akianza kuwafungia wenyeji, Bournemouth dakika ya 35 kabla ya Pierre-Emerick Aubameyang kuisawazishia Arsenal dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
State of Origin game two: NSW Blues star Latrell Mitchell says Matt Burton can have number 4 jersey
-
Game recognises game: fresh off watching NSW debutant Matt Burton put on an
absolute clinic in the centres, injured Blue Latrell Mitchell commented
that Bu...
Dakika 17 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni