Mshambuliaji Msenegal, Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Liverpool dakika ya 49 ikiwalaza Wolverhampton Wanderers 1-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Ushindi huo unaifanya Liverpool ifikishe pointi 55 katika mchezo wa 19 na kuendelea kuongoza EPL kwa pointi 13 zaidi ya Leicester City na 17 zaidi ya mabingwa watetezi, Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Investigators deem there was no criminal liability in car crash that killed
Diogo Jota and his brother
-
Jota and Silva were killed in a car crash in northern Spain on July 3,
2025, when their Lamborghini veered off the A‑52 motorway near Cernadilla.
44 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment