Mshambuliaji Msenegal, Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Liverpool dakika ya 49 ikiwalaza Wolverhampton Wanderers 1-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Ushindi huo unaifanya Liverpool ifikishe pointi 55 katika mchezo wa 19 na kuendelea kuongoza EPL kwa pointi 13 zaidi ya Leicester City na 17 zaidi ya mabingwa watetezi, Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rome Odunze, Michael Penix Jr., More Sign Adidas Contracts Before 2024 NFL
Draft
-
Prior to the start of the 2024 NFL draft on Thursday, Adidas announced that
it signed four potential first-round picks to endorsement deals. Washington
wide…
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment