Mshambuliaji Msenegal, Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Liverpool dakika ya 49 ikiwalaza Wolverhampton Wanderers 1-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Ushindi huo unaifanya Liverpool ifikishe pointi 55 katika mchezo wa 19 na kuendelea kuongoza EPL kwa pointi 13 zaidi ya Leicester City na 17 zaidi ya mabingwa watetezi, Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ghana to face Egypt in Beach Soccer Africa Cup of Nations qualifiers
-
Ghana will play Egypt in Beach Soccer Africa Cup of Nations Mozambique 2022
qualifiers after the draw was held on Friday in Maputo.The Black Sharks are
one...
Dakika 26 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni