Mshambuliaji Msenegal, Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Liverpool dakika ya 49 ikiwalaza Wolverhampton Wanderers 1-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Ushindi huo unaifanya Liverpool ifikishe pointi 55 katika mchezo wa 19 na kuendelea kuongoza EPL kwa pointi 13 zaidi ya Leicester City na 17 zaidi ya mabingwa watetezi, Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gov Alia ascents to electricity law, says law to deliver reliable
electricity, stimulate economic devt
-
Governor Hyacinth Alia has signed into law, the Benue State Electricity
Law, 2026.
The post Gov Alia ascents to electricity law, says law to deliver reli...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment