Vinicius Junior akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la pili dakika ya 64 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Club Brugge kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Jan Breydel mjini Brugge. Mabao mengine ya Real Madrid yalifungwa na Rodrygo dakika ya 53 na Luka Modric dakika ya 90 na ushei, wakati la Club Brugge lilifungwa na Hans Vanaken dakika ya 55. Real imamaliza nafasi ya pili nyuma ya PSG na zote zinakwenda hatua ya 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
MLB All-Star Futures Game: Rays prospect Nathan Flewelling earns MVP honors
with 2-run homer in AL's 6-1 win
-
The Tampa Bay Rays young hopefuls shined in Philadelphia at MLB's midsummer
showcase of young talent.
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment