Vinicius Junior akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la pili dakika ya 64 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Club Brugge kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Jan Breydel mjini Brugge. Mabao mengine ya Real Madrid yalifungwa na Rodrygo dakika ya 53 na Luka Modric dakika ya 90 na ushei, wakati la Club Brugge lilifungwa na Hans Vanaken dakika ya 55. Real imamaliza nafasi ya pili nyuma ya PSG na zote zinakwenda hatua ya 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Caitlin Clark wins back-to-back James E. Sullivan Awards for the first time
in honor's 94-year histoy
-
The Iowa basketball star claimed the award on Tuesday night. The James E.
Sullivan Award goes to the most outstanding athlete at the college or
Olympic lev...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment