Vinicius Junior akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la pili dakika ya 64 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Club Brugge kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Jan Breydel mjini Brugge. Mabao mengine ya Real Madrid yalifungwa na Rodrygo dakika ya 53 na Luka Modric dakika ya 90 na ushei, wakati la Club Brugge lilifungwa na Hans Vanaken dakika ya 55. Real imamaliza nafasi ya pili nyuma ya PSG na zote zinakwenda hatua ya 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Disaster strikes for highly-rated NFL Draft star Jermod McCoy as teams
completely ignore him in top 100 picks
-
The 6-foot-1, 188lb cornerback out of Tennessee was projected to be picked
in the top 20 in Pittsburgh, and had been holding out hopes for a top-10
selecti...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment