Mshambuliaji Mzambia wa Azam FC, Obrey Chirwa akishangilia baada ya kuifungia timu hiyo bao pekee dakika ya tisa ikiwalaza wenyeji, Polisi Tanzania 1-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Ushirika mjini Moshi mkoani Kilimanjaro. Mechi nyingine ya Ligi Kuu leo, Namungo FC wameshinda 1-0 ugenini dhidi ya JKT Tanzania bao pekee la Bgirimana Blaise dakika ya 90
Legon Cities relegated from Ghana Premier League following heavy defeat to
Nations FC
-
Legon Cities have been relegated to the Division One League after a 4-1
defeat to Nations FC on Monday at the University of Ghana Stadium in
Legon.Kelvin A...
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment