Mshambuliaji Mzambia wa Azam FC, Obrey Chirwa akishangilia baada ya kuifungia timu hiyo bao pekee dakika ya tisa ikiwalaza wenyeji, Polisi Tanzania 1-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Ushirika mjini Moshi mkoani Kilimanjaro. Mechi nyingine ya Ligi Kuu leo, Namungo FC wameshinda 1-0 ugenini dhidi ya JKT Tanzania bao pekee la Bgirimana Blaise dakika ya 90
Burna Boy’s grandfather hails Nigeria’s dominance in Afrobeat
-
Veteran broadcaster and music executive, Benson Idonije, has praised
Nigeria’s continued leadership in Afrobeat music, saying the country
remains the dri...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment