Mshambuliaji Mzambia wa Azam FC, Obrey Chirwa akishangilia baada ya kuifungia timu hiyo bao pekee dakika ya tisa ikiwalaza wenyeji, Polisi Tanzania 1-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Ushirika mjini Moshi mkoani Kilimanjaro. Mechi nyingine ya Ligi Kuu leo, Namungo FC wameshinda 1-0 ugenini dhidi ya JKT Tanzania bao pekee la Bgirimana Blaise dakika ya 90
Jude Bellingham asking price revealed
-
Borussia Dortmund have set an asking price of €120m for England
international midfielder Jude Bellingham. The player who turned 19 on
Wednesday is one of t...
Dakika 9 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni