Mshambuliaji Alexandre Lacazette (kulia) akifurahia na mwenzake, Bukayo Saka baada ya kuifungia tmu hiyo bao la kwanza dakika ya78 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Standard Liege kwenye mchezo wa Kundi F UEFA Europa League. Bao la pili la Arsenal lilifungwa na Saka dakika ya 81, wakati ya Standard Liege yalifungwa na Samuel Bastien dakika ya 47 na Selim Amallah dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England v New Zealand: 'It's lodged between his legs!' Billings removes Wagner with bizarre catch
-
Watch the moment Sam Billings takes a bizarre catch to remove New Zealand's
Neil Wagner on day four of the third Test at Headingley.
Dakika 14 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni