• HABARI MPYA

    Friday, December 13, 2019

    LACAZETTE NA SAKA WAFUNGA, ARSENAL YATOA SARE 2-2 UGENINI

    Mshambuliaji Alexandre Lacazette (kulia) akifurahia na mwenzake, Bukayo Saka baada ya kuifungia tmu hiyo bao la kwanza dakika ya78  katika sare ya 2-2 na wenyeji, Standard Liege kwenye mchezo wa Kundi F UEFA Europa League. Bao la pili la Arsenal lilifungwa na Saka dakika ya 81, wakati ya Standard Liege yalifungwa na Samuel Bastien dakika ya 47 na Selim Amallah dakika ya 69 
      
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LACAZETTE NA SAKA WAFUNGA, ARSENAL YATOA SARE 2-2 UGENINI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top