Simba Queens imeedeleza ubabe kwa Yanga Princess baada ya ushindi wa 3-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Karume mjini Dar es Salaam. Mabao ya Simba yamefungwa na Mwanahamisi Omar dakika ya 13 na Neema Kilinga mawili dakika ya 35 na 86, wakati la Yanga Princess limefungwa na Shelda Boniface dakika ya 25
Borno: How abductors killed my husband, molested me – Rescued victims
recount ordeal
-
Freed captives from Ngoshe community in Gwoza Local Government Area of
Borno State have recounted the pain, abuse and deprivation they suffered
during mo...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment