Simba Queens imeedeleza ubabe kwa Yanga Princess baada ya ushindi wa 3-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Karume mjini Dar es Salaam. Mabao ya Simba yamefungwa na Mwanahamisi Omar dakika ya 13 na Neema Kilinga mawili dakika ya 35 na 86, wakati la Yanga Princess limefungwa na Shelda Boniface dakika ya 25
Gift Anizoba’s movie thrills fans at premiere
-
The new movie, The Domestic Staff, of fast-rising Nollywood actress Gift
Anizoba thrilled viewers when it premiered on the YouTube Channel, Global
CrownT...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment