Simba Queens imeedeleza ubabe kwa Yanga Princess baada ya ushindi wa 3-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Karume mjini Dar es Salaam. Mabao ya Simba yamefungwa na Mwanahamisi Omar dakika ya 13 na Neema Kilinga mawili dakika ya 35 na 86, wakati la Yanga Princess limefungwa na Shelda Boniface dakika ya 25
Updated 2024 AEW Dynasty Card and Predictions for Match Order
-
The inaugural AEW Dynasty pay-per-view is set for Sunday, and it will see
nearly every major AEW championship be put on the line. In the likely main
event,…
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment